Nimeongea
na Mchungaji S. Tweve wa Melinze Njombe kuhusu kuongezeka kwa maambukizi mapya
ya UKIMWI Mkoani Njombe. Mchungai Tweve alisema kuwa watu wa Njombe, kwanza
hawajali, pili Serikali imezidiwa nguvu, tatu watoto wanapewa elimu ya UKIMWI
isiyo sahihi.
Mahojiano kamili nitawaletea hivi karibuni.
Mahojiano kamili nitawaletea hivi karibuni.

No comments:
Post a Comment